Текст песни Utanipenda - Diamond Platnumz

Utanipenda - Diamond Platnumz
Информация о песне На данной странице вы можете ознакомиться с текстом песни Utanipenda, исполнителя - Diamond Platnumz.
Дата выпуска: 01.06.2017
Язык песни: Суахили

Utanipenda

Tanta lala laaa
Ooh La la la la laaaa
Mmmmh
Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale
Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree
Umeneja umebaki jina
Hanitaki hata Tale
Oooh wale shabiki zangu
Walionisifu kwa maneno matamu
Leo maadui zangu
Ni mitusi tu kwa instagram
Kimwanaa si dada angu
Eti nae hanifahamu
Hata Harmonize nikimpigia
Ananifokea kama Sallam
Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa
Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa
Kama naiona michambo ya madem wa zamani nlio wapitiaga
Ooh nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sanaa
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Aaah
Ndio adui mkubwa wa kesho
La la la la la laaaaa
Au je utanipenda gaa?
La la la la laaa
Au nawe utanimwagaa?
La la la la laaaa
Ati utanipenda gaa ooh
Ooooh
Ooooooooh.
Bado naiwaza sana
Zile tunzo mashauzi airport
Je itapofika tamati
Utadiriki hata japo kunipost
Pindi show zimekwamaa
Na nikipata sijahis ni mikosi
Oooh jahazi limezama
Mola ninusulu baba
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa Dangote
Anakwenda na mamaangu
Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke
Usilie Sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena mambo yanyooke
Eeeey
Na magazeti ya nyumbani
Kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia tafalani eti Mondi kwa Zari amemwaga
Oh yeh yeh yeh
Navyo nilivyo mnyonge
Tabia ya kuwajibu sinaga
Kama naiona michambo ya madem wa zamani
Yani He he heeeeee
La la la la laaaaaa (eeeh)
(Ola lala la laaaalaa)
La la la la laaa
(Ooh ola la la laaaa)
La la la la la alaaaa
Eeeh
Ola la la lilaa ooh
I say.
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa dangote
Ana kwenda na mama angu
Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke
Usilie sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena
Mambo yanyooke (he he heee)
Eiiii
Ola lala lilaa
Oooh baby
Tudd Thomas
Oooooh
Nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sana
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Ndio adui mkubwa wa kesho
WASAFIIII.

Поделитесь текстом песни:

Напишите что вы думаете о тексте песни!

Другие песни исполнителя:

НазваниеГод
Tetema ft. Diamond Platnumz 2019
Shu! 2023
Kamata 2021
Kainama ft. Burna Boy, Diamond Platnumz 2019
Jeje 2020
African Beauty ft. Omarion 2018
Gidi 2022
Baikoko ft. Diamond Platnumz 2021
Penzi ft. Diamond Platnumz 2019
Yo Pe ft. Diamond Platnumz 2021
IYO ft. Focalistic 2021
Gimmie ft. Rema 2021
Inama ft. Fally Ipupa 2019
Love You Die ft. Patoranking 2017
Waah! ft. Koffi Olomide 2020
Katika ft. Diamond Platnumz 2018
Haunisumbui 2022
Baba Lao 2019
Amaboko ft. Diamond Platnumz 2020
Kidogo ft. P Square, P-Square 2018

Тексты песен исполнителя: Diamond Platnumz